WATANZANIA WALETEWA FURSA MPYA ZA BIASHARA ULAYA
serikali ya TANZANIA kupitia wizara ya viwanda na biashara iko katika mchakato wa kutafuta soko la bidhaa za tanzania nje ya nchi ili kuwa...
https://mzukatz.blogspot.com/2015/03/watanzania-waletewa-fursa-mpya-za.html
Waziri mdeme ameongezea kuwa wizara yake inaunda umoja utakaowezesha Tanzania kufanya biashara na wafanyabiashara kutoka nje ya nchihuku wakiongeza kwa upatikanaji wa gesi nchini utaiwezesha Tanzania kukua kiuchumi kutokana na kushuka kwa bei ya nishati hali itakayoongezea viwanda vidogovidogo nchini.
waandishi na wadau mbambali wa taasisis binafsi na za serikali wakifuatilia mkutano wa naibu waziri jijini dar es salaam |