Rais wa Yemen aitaka UN kuingilia kati

Rais wa Yemen Abd Rabbuh Mansour Hadi Rais wa Yemen aliyeko matatani, Abd Rabbuh Mansour Hadi, ameliomba baraza la usalama la umoja wa ...

Rais wa Yemen Abd Rabbuh Mansour Hadi
Rais wa Yemen aliyeko matatani, Abd Rabbuh Mansour Hadi, ameliomba baraza la usalama la umoja wa mataifa kuidhinisha hatua za kijeshi dhidi ya kundi la waasi la waislamu washia- Houthi, lililomlazimu kuutoroka mji mkuu wa taifa hilo Sanaa.
Bwana Hadi tayari ameliomba baraza la mataifa ya muungano wa kiarabu kumsaidia kijeshi.
Anajaribu kuunda makao mapya ya utawala katika mji wa bandari wa Aden Kusini mwa Yemen, lakini wanamgambo wa Houthi wameukaribia mji mkuu- Sanaa.

_BBC

Related

Habari 2539564806009373149

Post a Comment

emo-but-icon

Recent Post

Comments

Hot in week

My Blog List

Recent

item