MUENDELEZO WA KESI YA JARIBIO LA KUMUUA DR SLAA. Uchunguzi...

Jeshi la polisi kanda maalum ya DAR ES SALAAM imesema inaendelea na uchunguzi kuhusu malalamiko ya Katibu Mkuu wa CHADEMA,DK.WILBROAD SLAA...

Jeshi la polisi kanda maalum ya DAR ES SALAAM imesema inaendelea na uchunguzi kuhusu malalamiko ya Katibu Mkuu wa CHADEMA,DK.WILBROAD SLAA ya jaribio la  kuwekewa sumu na mlinzi wake BW.KHALED KAGENZI.

kamanda wa jeshi la polisi kanda maalum Suleiman Kova
akitoa taarifa kwa waandishi wa hbari leo jijini dsm
PICHA:NA LIVINGSTONE MINJA



Endelea kusoma
Kamanda wa polisi Kanda hiyo SULEIMAN KOVA amesema amepokea taarifa hizo tarehe 8/3/2015 majira ya jioni kupitia wakili wa chama hicho BW.JOHN MALLYA.



Wakati huo huo jeshi la polisi linamshikilia BW.HAROUB MTOPA 44 Mkazi wa MBAGALA anaedaiwa kuwa mtuhumiwa sugu wa utapeli kwa kujifanya katibu wa Rais na kuwatapeli watanzania kuwa atawapatia ajira.


waandishi wa habari wakifuatilia taarifa ya kamanda Kova
PICHA:NA LIVINGSTONE MINJA


Related

Habari 6039700172790862068

Post a Comment

emo-but-icon

Recent Post

Comments

Hot in week

My Blog List

Recent

item