Je unamjua Mark Dacascos? msome hapa

Wengi mnam’fahamu kama MARK DACASCOS kijana wenye utashi sana katika movies za action haswa kutokana na ujuzi wake mkubwa wa MARTIA...



Wengi mnam’fahamu kama MARK DACASCOS kijana wenye utashi sana katika movies za action haswa kutokana na ujuzi wake mkubwa wa MARTIAL ART.

Bwana huyu alizaliwa Feb.26th 1964 huko Honolulu, Hawaii.U.S akiwa ni kijana wa mzee Al-dacascos mwenyeji wa Hawaii na mama yake Moriko Mc Vey-Murray ambaye ni mchanganyiko wa Irish na Japan.
Baba yake alikuwa ni mtaaalam wa masuala sanaa hii ya upiganaji “ Martial art Istructor” hii pia ilichangia sana Mark D kuwa na ujuzi mkubwa sana katika sanaa hii ya upiganaji.

Kipaji cha kijana huyu kiligunduliwa na Chris Lee- aliye kuwa Assistant Director chini ya Director Wyne Wang huko San Fransicso China.

Miiongoni mwa Movies nyingi alizofanya, hata isahau ONLY THE STRONG 1993 iliyomkuzia jina sana, akiwa kama Master wa style ya  CAPOERA alifanikiwa kuwageuza vijana walioonekana na jamii kama walioshindwa na kuwafanya waonekane wa maana sana katika jamii.

MARK DACASCOSS anafahamika pia kama THE CHAIRMAN hii ni kutokana na muendelezo wa show ya JAPANESE CHEF.1993. Katika IRON CHEF AMERICA aliyocheza nafasi ya TAKESH KAGA show hii ilimpatia sana umaarufu na kumbatiza jina la THE CHAIR MAN.

Utauona ukali wake zaidi katka Mortal Kombat Leagacy, The crow Strairway to Heaven, Bother Hood, nk:


hii ni Trailer ya muvi yake maarufu ya ONLY THE STRONG



_imeandaliwa na WILSON SAMWEL

Related

Filamu 3402379399205251396

Post a Comment

emo-but-icon

Recent Post

Comments

Hot in week

My Blog List

Recent

item