GARI INAYOPAA YAKAMILIKA... YATIKISA DUNIA...
KAMPUNI ya Kislovakia ya AEROMOBIL imekua ikiendeleza maono yake ya mda mrefu juu ya kupata gari halisi iliyo na uwezo wa kupaa hewani ka...
https://mzukatz.blogspot.com/2015/03/gari-inayopaa-yakamilika-yatikisa-dunia.html
KAMPUNI ya Kislovakia ya AEROMOBIL imekua ikiendeleza maono yake ya mda mrefu juu ya kupata gari halisi iliyo na uwezo wa kupaa hewani kama ndege.
Kwa mara ya kwanza Mkurugenzi Mtendaji wake bw. Juraj Vaculik ameweka ratiba sahihi juu ya ukamilifu wake kwa kusema kuwa gari hiyo ya ajabu itabisha hodi katika soko la matajiri (super-rich markert) mnamo mwaka 2017 na kwamba kwa sasa kila kitu kipo sawa isipokuwa tu mambo machache ikiwemo suala la bei
Kwa mara ya kwanza Mkurugenzi Mtendaji wake bw. Juraj Vaculik ameweka ratiba sahihi juu ya ukamilifu wake kwa kusema kuwa gari hiyo ya ajabu itabisha hodi katika soko la matajiri (super-rich markert) mnamo mwaka 2017 na kwamba kwa sasa kila kitu kipo sawa isipokuwa tu mambo machache ikiwemo suala la bei
Kwa zaidi ya miaka mitano kampuni hiyo imekua ikishughulikia
mahitaji mengi ya gari hilo ambalo linatazamiwa kuwa mapinduzi makubwa katika
teknolojia ya dunia
Vaculik alisema ana matumaini kuwa gari hilo litarahisisha Maisha
kwa kiasi kikubwa kwa wanunuzi matajiri wa supercars katika mda wa miaka miwili
tu kutoka hivi sasa
Si hayo tu Gari hilo pia litakuwa na teknolojia mpya ya
kujiendesha lenyewe iliyogunduliwa hivi karibuni na linatarajiwa kuwa msaada mkubwa kwa nchi, majiji na miji iliyo na trafiki kubwa.