Afande Sele nae atimkia ACT kwa ZITTO... Atangaza NIA ya ubunge morogoro
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini SELEMANI MSINDI maarufu kama AFANDE SELLE ametangaza rasmi kujiunga na chama cha ACT akitokea CHA...
https://mzukatz.blogspot.com/2015/03/afande-sele-nae-atimkia-act-kwa-zitto.html
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini SELEMANI MSINDI maarufu kama AFANDE SELLE ametangaza rasmi kujiunga na chama cha ACT akitokea CHADEMA huku akisema kuwa ZITTO KABWE ndiye mwanasiasa pekee aliyekuwa akivutiwa naye hivyo ameamua kufuatana naye kuamia chama cha ACT ili kujenga demokrasia na usawa
Sele ambae pia ni mwenyekiti wa mtaa huko morogoro amesema amechukizwa sana na kitendo cha chama chake cha awali (CHADEMA) kumfukuza mwanasiasa nguli kama Zitto kwakusema kuwa anakifananisha kitendo hicho na UNYAMA
mbali na hayo AFANDE SELE amesema atagombea ubunge katika jimbo la morogoro mjini kupitia chama hicho mwezi oktoba mwaka huu
Sele ambae pia ni mwenyekiti wa mtaa huko morogoro amesema amechukizwa sana na kitendo cha chama chake cha awali (CHADEMA) kumfukuza mwanasiasa nguli kama Zitto kwakusema kuwa anakifananisha kitendo hicho na UNYAMA
mbali na hayo AFANDE SELE amesema atagombea ubunge katika jimbo la morogoro mjini kupitia chama hicho mwezi oktoba mwaka huu
Afande Sele akikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa ACT kutoka kwa mwenyekiti wa chama hicho PICHA NA :Livingstone Minja |
wanachama rasmi wa ACT wakionyesha kadi zao punde tu baada ya kutawazwa kuwa wanachama hai PICHA NA :Livingstone Minja
_Imeandikwa na Praygod Thadey
|