IPHONE 5 ZAIDI YA MILLIONI MBILI ZAUZWA NDANI YA SIKU 3 CHINA

Idara ya mauzo ya Kampuni ya Apple imetangaza kuvunja rekodi ya mauzo ya simu baada ya kuuza simu zao mpya aina ya Iphone 5 zaidi ya m...




Idara ya mauzo ya Kampuni ya Apple imetangaza kuvunja rekodi ya mauzo ya simu baada ya kuuza simu zao mpya aina ya Iphone 5 zaidi ya milioni mbili ndani ya siku tatu nchini China.
simu hiyo yenye uwezo mkubwa zaidi kutolewa na kampuni ya Apple ilizindulia rasmi nchini China siku ya ijumaa.
Apple pia imeongeza kuwa simu hiyo itapatikana kwa zaidi ya nchi mia moja duniani ifikapo mwisho wa mwezi huu wa desemba.

Post a Comment

emo-but-icon

Recent Post

Comments

Hot in week

My Blog List

Recent

item