soma hapa WALICHOKISEMA CUF JUU YA MFUMO WA BVRM
Chama cha wananchi ( CUF ) wamesema kuwa wana wasiwasi mkubwa kuhusu zoezi linaloendea la undikishakiji mpya wa daftari la wapiga kura kw...
https://mzukatz.blogspot.com/2015/03/soma-hapa-walichokisema-cuf-juu-ya.html
Chama cha wananchi ( CUF ) wamesema kuwa wana wasiwasi mkubwa kuhusu zoezi linaloendea la undikishakiji mpya wa daftari la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kielectronic ambao unajulikana kama BVR.na kusisitiza kuwa kuendelea kutumia mfumo huo wa kielectoniki ni njia ya serekali kumaliza fedha za walipa kodi na rasilimali za nchi kwa ujumla.
Hayo yememwa na Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi CUF, Bw.Abdul Kambaya wakati akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho yaliyoko ilala jijiji Dar es salaam. Ambapo Ameongeza kuwa zoezi hilo lina kasoro kubwa kwani hadi kufika April 28 Zoezi hilo litakuwa bado halijakamilika.
BW.Abdul ametolea ufafanuzi , baadhi ya mambo yatakayo sababisha zoezi hilo kutokufanya kazi vizuri ikiwa ni pamoja na idadi ya watu wanao jitokeza inazidi idadi ile ambayo tume ya taifa ya uchaguzi imejiwekea, kwani utafiti unaonyesha kuwa uwezo wa mashine hizo za BVR kufanya kazi ni chini ya kiwango maana mashine moja inaandikisha idadi ndogo isiyozidi watu 60 kwa siku, huku lengo la tume ya taifa ya uchaguzi ni mashine moja iwe na uwezo wa kuandikisha watu 80-100 kwa siku.
Pia ameongeza ili zoezi hili liweze kukamilika tume ya taifa ya uchaguzi inahitaji mashine za kibaologia za undikisha kura BVR elfu nne (8000) na mpaka sasa tume hiyo ina vifaa hivyo vya BVR 250 huku kukiwa na upungufu wa elfu saba mia saba na hamsini.( 7750) kitu kinacho onesha wazi kuwa zoezi hili halita kamilika kwa wakati.
_Elia Sebastian
Mkurugenzi wa habari na uenezi CUF Bw. Abdul Kambaya |
Hayo yememwa na Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi CUF, Bw.Abdul Kambaya wakati akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya chama hicho yaliyoko ilala jijiji Dar es salaam. Ambapo Ameongeza kuwa zoezi hilo lina kasoro kubwa kwani hadi kufika April 28 Zoezi hilo litakuwa bado halijakamilika.
BW.Abdul ametolea ufafanuzi , baadhi ya mambo yatakayo sababisha zoezi hilo kutokufanya kazi vizuri ikiwa ni pamoja na idadi ya watu wanao jitokeza inazidi idadi ile ambayo tume ya taifa ya uchaguzi imejiwekea, kwani utafiti unaonyesha kuwa uwezo wa mashine hizo za BVR kufanya kazi ni chini ya kiwango maana mashine moja inaandikisha idadi ndogo isiyozidi watu 60 kwa siku, huku lengo la tume ya taifa ya uchaguzi ni mashine moja iwe na uwezo wa kuandikisha watu 80-100 kwa siku.
Pia ameongeza ili zoezi hili liweze kukamilika tume ya taifa ya uchaguzi inahitaji mashine za kibaologia za undikisha kura BVR elfu nne (8000) na mpaka sasa tume hiyo ina vifaa hivyo vya BVR 250 huku kukiwa na upungufu wa elfu saba mia saba na hamsini.( 7750) kitu kinacho onesha wazi kuwa zoezi hili halita kamilika kwa wakati.
_Elia Sebastian