FRANQ CHALI (beef chaa) AFUNGUKA JUU YA MADEE KUJITOA TIPTOP..
"Kuna kiblog uchwara hapa town sijui kinaitwa upekuzi3-| kimeandika habari za uongo kuwa MADEE katoka tiptip...acheni kuandika habari...
https://mzukatz.blogspot.com/2012/12/franq-chali-beef-chaa-afunguka-juu-ya.html
"Kuna kiblog uchwara hapa town sijui kinaitwa upekuzi3-| kimeandika
habari za uongo kuwa MADEE katoka tiptip...acheni kuandika habari
msizokua na uhakika nazo>:/ MADEE bado yupo TIPTOP CONNECTION kama
kawa...
mshakula vyombo vyenu vya kona bar mshawaka>:/ mnaandika habari zisizo na uhakika au ndio mnataka blog ipate jina:| ni hayo tu :]x Msemaji mkuu wa MADEE!!
#TUSIJUANE:x"
hivyo ndivyo FRANK CHALI alivyofunguka juu ya tetesi za madee...
mshakula vyombo vyenu vya kona bar mshawaka>:/ mnaandika habari zisizo na uhakika au ndio mnataka blog ipate jina:| ni hayo tu :]x Msemaji mkuu wa MADEE!!
#TUSIJUANE:x"
hivyo ndivyo FRANK CHALI alivyofunguka juu ya tetesi za madee...